• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

MARRY MASANJA AHAMASISHA MAGU KUSHIRIKI KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: October 15th, 2024

Mbunge wa Viti maalum CCM mkoani Mwanza, Marry Masanja leo Jumanne amejiandikisha katika daftari la wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa katika kituo cha Magu kilichopo kata ya Magu Mjini wilaya Magu mkoani Mwanza.

Masanja pia amezungumza na wananchi na wafanyabiashara wa eneo hilo la stendi ya mabasi na daladala Magu na kuwaelimisha umuhimu wa kujiandikisha katika daftari hilo la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Akizungumza na wananchi hao waliofurika katika eneo hilo kumsikiliza, Masanja ametoa rai kwa wananchi kutambua kuwa uandikishaji wa daftari la kudumu la uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Septemba, haumpi sifa mwananchi kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa.

“Ili kuwa na sifa za kumchagua mwenyekiti wa kitongoji na Kijiji chako, unatakiwa kwenda kujiandikisha sasa kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa, ten ani zoezi ambalo hutumii muda mrefu ndani ya dakika moja umemaliza kujiandikisha na kuwa na sifa ya kushiriki uchaguzi huo,” amesema.

Aidha, ametoa wito kwa wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa lililofunguliwa tarehe 11 Oktoba mwaka huu hadi tarehe 20 Oktoba ili kumchagua kiongozi atakayeungana na serikali kuwaletea maendeleo.

“Rais Samia Suluhu Hassan alijiandikisha kule Chamwino - Dodoma kwenye makazi yake na mimi nimekuja kujiandikisha kwenye makazi yangu hapa Magu Mjini maana mimi ni mtoto wa stendi.

“Napenda kutoa wito kwa wananchi kuwa wasisubiri hadi siku za mwisho ndio wajitokeze kujiandikisha badala yake wajitokeze sasa kwani zoezi halitumii muda mrefu, ndani ya dakika moja unakuwa umemaliza kujiandikisha,” amesema.

Kwa mujibu wa Afisa Uchaguzi wilaya ya Magu, Mwagala Masunga, zoezi la kujiandikisha katika wilaya ya Magu linaendelea vizuri hasa ikizingatiwa kwa muda wa siku nne, tayari wananchi 95,157 wamejiandikisha.

Zoezi hilo la kuandikisha wapiga kura uchaguzi huo lililoanza tarehe 11 hadi 20 Oktoba mwaka huu linalenga kuandikisha wananchi 215,510.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA WALIOTEULIWA KATIKA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA II April 28, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU ENEO LA ILUNGU NA IGUDIJA TAREHE 02/12/2024 December 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA SHULE YA WASICHANA YA MKOA WA MWANZA MWANZA GIRLS SS 2023 December 16, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Mchengerwa aagiza maofisa habari kukabidhiwa ofisi

    May 23, 2025
  • MAGU YAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUENDELEA KUINUA KIUCHUMI KUNDI LA VIJANA

    May 21, 2025
  • MAGU YATENGA MILIONI 92 KUTENGENEZA MADAWATI 1300

    May 21, 2025
  • DC NASSARI AONGOZA KIKAO MAANDALIZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU MAGU

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa