• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MAGU DISTRICT COUNCIL
MAGU DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Magu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu Wa Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo , umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Utumishi na utawala
      • Idara ya Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Fedha
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Tehama
      • Internal Audit Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
      • Bujora
    • Miundombinu ya Umwagiliaji
  • Huduma
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
      • Wajumbe wa Baraza la Madiwani
      • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya UKIMWI (CMAC)
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Bajeti
      • 2016/2017 Budget
    • TASAF
    • Mpango Mkakati
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • sheria
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari

Historia

  • UTANGULIZI:
  • Wilaya ya Magu ni kati ya wilaya 8 zinazounda Mkoa wa Mwanza. Wilaya imeanzishwa Mwaka 1974 baada ya kugawanywa kutoka Wilaya ya Kwimba. Wilaya kwa upande wa Kaskazini inapakana. Wilaya ya Ukerewe, upande wa Mashariki Wilaya inapakana na Wilaya ya Busega iliyoko Mkoa wa Simiyu. Kwa upande wa Kusini Mashariki, inapakana na Wilaya ya Bariadi, upande wa Kusini inapakana na Wilaya ya Kwimba na kwa upande wa Magharibi inapakana na Wilaya ya Ilemela
  • Ukubwa wa Eneo:
  • Wilaya ya Magu inaukubwa wa kilometa za mraba 2,671.Kati ya hizo kilometa za mraba 1,551 ni maji na kilometa 1,120 ni nchi kavu.
  • Eneo la Kiutawala:
  • Wilaya ina Jimbo moja la Uchaguzi Tarafa 4 kata 25, vijiji 82 na vitongoji 508.
  • Hali ya Hewa:

Hali ya hewa wilayani ni ya mvua za chini ya wastani, ambapo mvua za vuli huanza kunyesha kuanzia mwezi Oktoba hadi Desemba na mvua za masika huanza kunyesha mwezi Machi hadi mwezi Mei. Katika msimu wa kilimo 2012/13 mvua zilizorekodiwa kunyesha ni mm 950.4 kwa siku 240 ikilinganishwa na mm 323.7 zilizorekodiwa kunyesha kwa siku 194 kwa mwaka 2011/12 ambapo kwa kawaida, wastani wa mvua kwa mwaka ni kiasi cha mm 700 hadi mm 1000.

  • Idadi ya Watu:
  • Kwa mujibu wa sensa ya watuna makazi ya mwaka 2012, Wilaya ya Magu ina jumla watu 299,759 kati yao wanaume ni 146,461 na wanawake ni 153,298. Idadi ya watu inaongezeka kwa kasi ya asilimia 2 kwa mwaka na msongamano wa watu kwa kilometa ya mraba ni uwiano wa 1:112.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA UKARANI WA SENSA,USIMAMIZI WA MAUDHUI NA USIMAMIZI WA TEHAMA WA SENSA 2022 WILAYA YA MAGU July 19, 2022
  • TANGAZO KWA UMMA November 18, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 WILAYA YA MAGU December 16, 2022
  • Fomu za Maelekezo ya kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 katika Shule za Sekondari Magu (JOINING INSTRUCTIONS) December 29, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI

    March 12, 2023
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA CCM WILAYA

    March 12, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA MAGU ENEO LA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA KAGEYE

    March 01, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA MAGU MWANZA GIRLS SECONDARY SCHOOL

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

Serikali yatoa Matrekata 33 katika Halmashauri ya Wilaya ya Magu
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • Fomu ya Kusafiri nje ya Kituo cha kazi
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Fomu ya Opras
  • Fomu Mpya ya Maombi ya Likizo kwa watumishi
  • Fomu ya Quotation ya likizo
  • Taratibu za mikutano na uendeshaji shughuli za Halmashauri
  • Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza
  • Utaratibu wa kutoa Leseni ya Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Wakala ya Serikali Mtandao.
  • Wizara ya Afya
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya serikali
  • Ofisi ya Taifa ya takwimu Tanzania
  • tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Magu. Haki zote zimehifadhiwa